Monday, May 20, 2024

Top 5 This Week

Related Posts

Rashid Abdalla Explains Why He Enjoys Working With His Wife Lulu Hassan

Rashid Abdalla has said that he doesn’t encounter challenges while working with Lulu Hassan.

According to him, Lulu is his friend and that is why it is easier for them to work together.

Rashid added that Lulu is a person who doesn’t let mistakes pass by and that is why he considers her a friend in deed.

“Kusema ukweli mimi sikuoa mrembo nimeoa rafiki yangu, kwa hivyo mimi sina wasi wasi kuwa na rafiki yangu nje ya nyumba na ndani ya studio. Ukifanya kazi na mtu ambaye ni rafiki yako hakuna fegisu fegisu ..unatoboa tu kwasababu mimi nafurahi tu niko na rafiki yangu.

“Rafiki ambaye ukikosea atakuambia ukweli , rafiki hakufichi, labda awe rafiki wa uongo, rafiki hakusifii sifa na rafiki analilia kukukosoa. Mimi nikipata mtu ambaye ananisifu kila siku si rafiki ni mnafiki,” he said in an interview during the launch of their latest productions Zari and Kasiri.

Rashid further said that Lulu has great passion for what they do and that motivates him to put in more effort.

““Kasiri ambako watu hawakajui ni kwamba mimi napenda kazi yangu lakini niliye naye karibu yangu ananipa nguvu zaidi namzungumzia mke wangu Lulu Hassan ana mapenzi ya dhati kwa kazi tunayoifanya ana mapenzi ya dhati kuweza kusaidia vijana sisi wenyewe ni vijana,” he said.

The couple host together news at Citizen TV. Aside from that they are film producers and run a film production company known as Jiffy Pictures.

Zari and Kasiri telenovelas are set to premier in November on Maisha Magic next month.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Popular Articles

Verified by MonsterInsights