Thursday, September 19, 2024

Top 5 This Week

Related Posts

 “Hautawahi Teseka Tena” Dogo Richie Reveals He Is Madly In Love With Akothee

“There is no need for you dating a mzungu again mamaa. I am here for you,” Dogo Richie shared a heartfelt message for Akothee.

In his Instagram post, the Mombasa-based singer further confessed that he loves Akothee so much.

The post came after allegations that Akothee had been heartbrken by her mzungu husban Denis Schweizer aka Omosh.

“I love you Akothee. Njoo nikupe diet. Wambea nimewapa kazi?” Dogo Richie said.

The Mi Nawe singer further got chance to talk about his feelings for Akothee in a phone interview with Radio 47.

“Nimekuwa nikimufwatilia sana Akothee napenda ana bidii napenda jinsi anavyotunza familia yake haswa. Kila mwanamme duniani mwenye akili timamu anatamani sana kuwa na mwanamke aina hio. Nimkeuja kugundua washikaji wanapomdate huyu mrembo wanakuwa hawana  mahusiano marefu. Sijaona Akothee amedate mtu ikaenda zaidi ya mwaka,” he said.

According him, many men have been after Akothee because of her money. He also noted that Akothee’s husband might be a liar and that’s why she opted to get out of the relationship.

Dogo Rihie added that Akothee is in need of a man who will love and spoil her.

“Hakuna kitu Akothee anahitaji sasa hivi, kama ni dunia ameizunguka sana. Hakuna mahali mimi nitampeleka I feel is a new place kwake kwasababu ameenda nchi zote za ulaya. Kama ni wazungu ametembea nao matajiri Akothee anahitaji upendo,” he said.

Dogo, who is believed to be having a wife said that he took a break on matters women and currently he is just raising his children.

“Nammind kishenzi. Nimekuwa kwenye mahusiano na mpaka sahizi hakuna mtu amenielewa. I am suffering the same thing nafikiri Akothee anasuffer so tukiingiliana kwasababu sote tuna same disease tunablend vizuri,” he said.

He added that they would rhyme well because they are all artists and he even offered to be writing songs for her.

“Mimi walahi sijataka kiki ama umaarufu wowote bali nimekufwatilia kwa muda mrefu na ninapenda unachokifanya. Napenda mwanamke wa jinsia hii ambaye ana bidii, amehelp society. Wewe haujifikirii wewe unafikiria pia na watu wengine. Ni dream yangu mimi kuwa na manamke kama wewe.

“Mimi Dogo Richie aka Francis Kazungu Kalama nakupenda toka mopyoni kabisa. Naapa endapo ombi langu utaliskia mimi basi hautawahi teseka tena na wanaume waongo ambao wanakupenda wewe kwasababu ya pesa na umaarufu,” Dogo Richie said in his message directed to Akothee.

 

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Popular Articles

Verified by MonsterInsights